Jukwaa La Michezo

Kigali: Max Verstappen aongoza katika sherehe za Tuzo za FIA kwenye mkutano mkuu

Informações:

Sinopsis

Tulikuandalia ni pamoja na yaliyozungumziwa kwenye mkutano mkuu wa shirikisho la mchezo wa kuendesha magari duniani, FIA nchini Rwanda, uchambuzi wa raundi ya tatu ya mechi za ligi ya mabingwa Afrika, Pape Thiaw ateuliwa kuwa kocha mpya wa Senegal, Afrika Kusini yashinda Kombe la Afrika mchezo wa pete, uchambuzi wa mechi za Ligi ya Mabingwa Ulaya, Saudi Arabia ikithibitishwa kuwa mwenyeji wa Kombe la Dunia mwaka 2034

Únete Ahora

Únete Ahora

  • Acceso ilimitado a todo el contenido de la plataforma.
  • Más de 30 mil títulos, incluidos audiolibros, podcasts, series y documentales.
  • Narración de audiolibros por profesionales, incluidos actores, locutores e incluso los propios autores.
Prueba ahora Firma sin compromiso. Cancele cuando quiera.

Compartir