Habari Za Un
WFP yasaidia wananchi Sudan Kusini kupambana na mabadiliko ya tabianchi
- Autor: Vários
- Narrador: Vários
- Editor: Podcast
- Duración: 0:01:46
- Mas informaciones
Informações:
Sinopsis
Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani WFP nchini Sudan Kusini chini ya ufadhili wa Shirika la Maendeleo la Korea KOICA wanaendesha mradi wa kusaidia wananchi katika kilimo ili kujenga ustahimilivu na kupambana na utapiamlo. Tupate taarifa zaidi kutoka kwa Evarist Mapesa.