Wimbi La Siasa
Kenya: Upinzani utamtikisa Ruto uchaguzi wa mwaka 2027 ?
- Autor: Vários
- Narrador: Vários
- Editor: Podcast
- Duración: 0:10:16
- Mas informaciones
Informações:
Sinopsis
Wanasiasa wakuu wa upinzani nchini Kenya, wakiongozwa na aliyekuwa naibu rais Rigathi Gachagua, Aprili 29 2025, walikutana jijini Nairobi kuanza mikakati ya kuunda muungano mpya, kwa maandalizi ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2027. Je, muungano huu ambao pia umemjumuisha aliyekuwa Waziri wa usalama Fred Matiang’i, unaweza kumtikisa rais William Ruto wakati wa uchaguzi huo ?