Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Kuuawa kwa mbunge jijini Nairobi Kenya, Marekani kuzipatanisha Rwanda na DRC
- Autor: Vários
- Narrador: Vários
- Editor: Podcast
- Duración: 0:20:12
- Mas informaciones
Informações:
Sinopsis
Makala hii imeamgazia kuuawa kwa mbunge wa Kasipul Charles Ong'ondo Were, kwa kupigwa risasi na watu waliokuwa kwa pikipiki katika barabara ya Ngong Jijini Nairobi, jumatano, kukamatwa kwa mlinzi wake kiongozi wa chama cha upinzani cha NUP nchini Uganda, nao wawakilishi wa DRC na Rwanda wanaokutana Washington Marekani kusaini mkataba kuelekea makubaliano ya amani ya mashariki mwa DRC, siasa za Tanzania na kushambuliwa kwa kasisi wa kikatoliki na matukio kadhaa ya juma hili kutokea duniani