Jukwaa La Michezo
AFCON U20: Michuano ya vijana ya soka yang'oa nanga nchini Misri
- Autor: Vários
- Narrador: Vários
- Editor: Podcast
- Duración: 0:23:53
- Mas informaciones
Informações:
Sinopsis
Hii leo tumeangazia michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika ya vijana chini ya miaka 20 kuanza nchini Misri, mkondo wa mtoano katika msururu wa raga duniani, diamond league mkondo wa pili huko Uchina na Ligi ya Basketboli mkondo wa Sahara ukiendelea, Cecafa yapata rais mpya, nembo ya Visit Rwanda yaendelea kupanuka, bondia wa DRC Martin Bakole kupigana leo usiku, PSG, Man Utd, Spurs na Chelsea zavuna matokeo mazuri kwenye nusu fainali ligi za vilabu bingwa ulaya.