Habari Rfi-ki
Uganda yapitisha mswada kuruhusu raia kushtakiwa kwenye mahakama ya kijeshi
- Autor: Vários
- Narrador: Vários
- Editor: Podcast
- Duración: 0:09:50
- Mas informaciones
Informações:
Sinopsis
Wabunge wa upinzani hata hivyo walisusia kikao kilichopitisha mswada huo kwa haraka. Wanasiasa wa upinzani wanadai mswada huo unawalenga wakosoaji wa rais Yoweri Museveni