Wimbi La Siasa
DR Congo: Kabila aondolewa kinga ya kutoshtakiwa, aripotiwa kufikia Goma
- Autor: Vários
- Narrador: Vários
- Editor: Podcast
- Duración: 0:10:09
- Mas informaciones
Informações:
Sinopsis
Maseneta nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, wamemwondolea kinga ya kutoshtakiwa rais wa zamani Joseph Kabila , ambaye ripoti zinasema alirejea Goma usiku wa Mei 25.Kiongozi huyo wa zamani, ameishtumu serikali ya rais Felix Tshisekedi na kuuita ya Kidikteta. Hata hivyo, serikali ambayo inamtuhumu kiongozi huyo wa zamani kwa kushirikiana na waasi wa M23.