Habari Rfi-ki

Zambia :Rais Hakainde Hichilema asisitiza serikali kufanya mazizi ya Edgar Lungu

Informações:

Sinopsis

Rais wa Zambia Hakainde Hichilema ameendelea kusisitiza kufanya mazishi ya kitaifa kwa mtagulizi wake Edgar Lungu Licha ya mzozo uliopo baina yake na familia juu ya utekelezwaji ya matakwa ya marehemu ya kukataa kufanyiwa mazishi ya kitaifa.Tunakuuliza maoni yako kuhusu mzozo huo.