Jukwaa La Michezo
Fainali ya CHAN 2024 kuchezwa Kenya, mechi ya ufunguzi kupigwa Tanzania
- Autor: Vários
- Narrador: Vários
- Editor: Podcast
- Duración: 0:24:00
- Mas informaciones
Informações:
Sinopsis
Tuliyokuandalia leo ni pamoja na CAF kutangaza viwanja vitakavyoandaa michuano ya CHAN, kombe la CECAFA kwa kina dada, DRC yakuwa mshiriki rasmi wa AC Milan, matokeo ya Paris Diamond League na Mauritius 7s. Matokeo ya vilabu vya Afrika kwenye raundi ya kwanza ya Kombe la Dunia la Vilabu huku mshindi wa French Open Carlos Alcaraz akifuzu nusu fainali yake ya saba mwaka huu kwenye tenisi.