Habari Za Un
Wakimbizi kutoka Sudan Kusini wanapatiwa msaada na WFP mpakani mwa Ethiopia
- Autor: Vários
- Narrador: Vários
- Editor: Podcast
- Duración: 0:02:04
- Mas informaciones
Informações:
Sinopsis
Katika eneo la Mata, karibu na mpaka wa Ethiopia na Sudan Kusini, ambakomaelfu ya wakimbizi kutoka Sudan Kusini wanapokea msaada wa dharura kupitia juhudi za Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani, WFP. unaolenga kuwalinda baada ya kukimbia mapigano makali nchini mwao. Nyibol Chueny Puok, mama wa watoto 4 ni miongoni mwao. Sharon Jebichi anatupasha zaidi...