Habari Rfi-ki

Watu karibu 500 wakamatwa nchini Kenya kufuatia maandamano ya Juni 25 2025

Informações:

Sinopsis

Wanatuhumiwa kwa mauaji, ugaidi, ubakaji na makosa mengine. Wanaharakati wa haki za binadamu, wanasema, wanawake 14 walibakwa wakati wa maandamano hayo.