Habari Rfi-ki

Mkataba kati ya DRC na Rwanda ya kuleta amani yakudumu mashariki mwa DRC

Informações:

Sinopsis

Umoja wa Afrika umekaribisha makubaliano yaliyotiwa saini mwishoni mwa juma lililopita kati ya Rwanda na DRC, hatua ambayo itashuhudia unyang'anyaji wa silaha na kuondolewa kwa mamluki wa kigeni mashariki mwa Congo.