Jukwaa La Michezo

Yanga yashinda ubingwa wa 26 huku CAF ikitoa ratiba rasmi ya michuano ya Chan

Informações:

Sinopsis

Tuliyokuandalia leo ni pamoja na Yanga kushinda ubingwa wao wa 26, klabu ya Les Aigle du Congo yashinda ubingwa wa ligi ya DRC, historia zilizowekwa na Faith Kipyegon na Khaman Maluach wiki hii, Aish Manula arejea kikosini Taifa Stars kuelekea Chan, nini sababu ya vilabu vyote vya Afrika kubanduliwa kwenye kombe la dunia la vilabu? Ligi kuu ya Uingereza kuleta mabadiliko mapya mapumzikoni msimu ujao, Pogba,Giroud warejea katika ligi ya Ufaransa huku Lyon ikishushwa kutokana na matatizo ya fedha