Habari Za Un

Kilichotokea nchini Burundi 1972-1973 ni mauaji ya kimbari jumuiya ya kimataifa itambue hilo: Ndayicariye

Informações:

Sinopsis

Serikali ya Burundi inataka mauaji yaliyofanyika nchini mwake kati ya mwaka 1972 hadi 1973 yatambulike kimattaifa kama ni mauaji ya kimbari dhidi ya Wahutu, je kwa nini wito huo umekuja sasa? Flora Nducha anatujuza zaidi