Siha Njema
Je ni muda wa nchi za Afrika kujadili huduma ya kusaidiwa kufa ?
- Autor: Vários
- Narrador: Vários
- Editor: Podcast
- Duración: 0:10:12
- Mas informaciones
Informações:
Sinopsis
Hivi majuzi bunge la Uingereza limepitisha mswada wa kuhalalisha huduma ya kusaidiwa mtu kufa Huduma hii itatekelezwa katika hospitali chini ya usimamizi wa wahudumu wa afya ,kwa watu wazima wanaougua magonjwa yasiyopona . Watalaam wa afya wanasisitiza kuwa hatua hiyo sharti mgonjwa kuridhia bila kushinikizwa .