Jukwaa La Michezo

CHAN 2024: Tanzania na Kenya zashinda mechi zao za kwanza za makundi

Informações:

Sinopsis

Tunaendelea kuangazia michuano ya CHAN ambapo wenyeji Kenya na Tanzania wasajili ushindi mechi zao za kwanza, Sudan Kusini yabanduliwa kwenye hatua ya nusu fainali michuano ya basketboli ya kina dada ya Afrobasket, bondia Patrick Mukala wa DRC ndiye bingwa mpya wa Afrika uzani wa light heavyweight, Hojlund wa Man Utd awekewa dau la pauni milioni 30 kuuzwa, matokeo ya hatua ya tisa ya Tour du France na Formula One mkondo wa Hungarian Grand Prix