Habari Rfi-ki
Hatua ya wanasiasa kuhama hama vyama baada ya kukosa kufaulu kwenye uteuzi
- Autor: Vários
- Narrador: Vários
- Editor: Podcast
- Duración: 0:10:03
- Mas informaciones
Informações:
Sinopsis
mada ya leo ni kuhusu Nchini Tanzania ambapo baadhi ya wanasiasa wa CCM ambao hawakufaulu katika uteuzi wa chama, wameanza kuhamia vyama vingine ili kugombea viti mbalimbali kwenye uchaguzi wa oktoba mwaka huu.Hali hii imekuwa ikishuhudiwa pia katika mataifa mbalimbali barani Afrika. Tunamuuliza msikilizaji anaizungumziaje hatua hii ya hama hama kisiasa,na hali hii inashuhudiwa nchini mwake,,