Gurudumu La Uchumi

Huduma jumuishi za kifedha kidijitali, Afrika iko wapi?

Informações:

Sinopsis

Katika makala ya Gurudumu la Uchumi, tunazungumzia mabadiliko makubwa ya kiuchumi kuhusu namna malipo ya kidijitali yanavyochochea huduma jumuishi za kifedha, ukuaji wa uchumi, na mageuzi ya kidijitali kwenye nchi za Afrika. Wageni wetu leo ni Ali Mkimo mchambuzi na mtaalamu wa masuala ya uchumi akiwa Tanzania, pamoja na Lucy Nshuti Mbabazi, mkurugenzi wa taasisi ya Better Than Cash Alliance iliyochini ya shirika la maendeleo la umoja wa mataifa UNDP.