Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Mkutano wa uswis watamatika bila mkataba wowote, mapigano Ituri DRC yaua 31
- Autor: Vários
- Narrador: Vários
- Editor: Podcast
- Duración: 0:20:07
- Mas informaciones
Informações:
Sinopsis
Mkutano wa Geneva washindwa kupata mkataba wa kimataifa kuhusu taka za plastiki, takriban watu 31 wakiwemo raia 19 waliuawa katika mapigano kati ya jeshi la Kongo na wanamgambo wa CRP wa Thomas Lubanga katika eneo la Djugu mkoani Ituri kaskazini mashariki mwa DRC, michuano ya CHAN 2024 kwenye nchi za Afrika Mashariki, hali ya Sudan, Somalia na mkutano wa rais wa Marekani Donald Trump na mwenzake wa Urusi Vladimir Putin, huko Alaska.