Habari Za Un

Ukanda wa Gaza unaongoza duniani kwa watu waliokatika viungo

Informações:

Sinopsis

Maelfu ya Wapalestina katika Ukanda wa Gaza ambao wamepoteza viungo vyao vya mwili na wanakabiliwa na hali mbaya ya maisha na matatizo makubwa ya kiafya kutokana na ukosefu wa huduma bora za matibabu na viungo bandia wanazohitaji sana. Anold Kayanda na taarifa zaidi.