Habari Za Un
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa aweka vipaumbele vitano kwa maendeleo ya Afrika
- Autor: Vários
- Narrador: Vários
- Editor: Podcast
- Duración: 0:01:55
- Mas informaciones
Informações:
Sinopsis
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres amesema Afrika inahitaji mageuzi makubwa ya Baraza la Usalama na mfumo wa kimataifa wa fedha ili kufanikisha maendeleo yake na nafasi yake duniani. Akihutubia mkutano wa tisa wa maendeleo ya Afrika TICAD IX nchini Japan, Guterres ameweka vipaumbele vitano. Flora Nducha anafafanua zaidi