Habari Za Un
Mradi wa IFAD na ILO wadhihirisha nguvu ya vijana kwenye kilimo vijijini
- Autor: Vários
- Narrador: Vários
- Editor: Podcast
- Duración: 0:01:53
- Mas informaciones
Informações:
Sinopsis
Mashirika mawili ya Umoja wa Mataifa, lile la ajira, ILO na mfuko wa Maendeleo ya Kilimo, IFAD yanatekeleza mradi wa ProAgro YOUTH unaolenga kuongeza ajira kwa vijana katika sekta ya biashara ya kilimo vijijini.