Habari Za Un

Vijana wengi zaidi wapoteza maisha na kujeruhiwa katika mashambulizi ya Urusi huko Ukraine: UNICEF

Informações:

Sinopsis

Mashambulizi ya ndege zisizo na rubani za Urusi nchini Ukraine yaliyofanyika usiku kucha, ikiwemo katika miji ya Kharkiv na Zaporizhzhia, yameripotiwa kuua watu 10 wakiwemo watoto watatu, kwa mujibu wa  taarifa  ya Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto UNICEF iliyotolewa leo. Flora Nducha na taarifa zaidi