Habari Za Un
Tunatiwa hofu kubwa na kitendo cha Besigye kuendelea kunyimwa dhamana Uganda
- Autor: Vários
- Narrador: Vários
- Editor: Podcast
- Duración: 0:02:16
- Mas informaciones
Informações:
Sinopsis
Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Haki za Binadamu, (OHCHR), imesema kitendo cha kiongozi wa upinzani nchini Uganda Kizza Besigye pamoja na mshirika wake Obeid Lutale kunyimwa dhamana mara kwa mara katika kesi inayowakabili ni jambo linalotia hofu kubwa. Assumpta Massoi na maelezo zaidi.