Habari Za Un
Kuuawa kwa waandishi wa habari 6 katika ukanda wa Gaza, viongozi wa mashirika ya UN walaani
- Autor: Vários
- Narrador: Vários
- Editor: Podcast
- Duración: 0:02:15
- Mas informaciones
Informações:
Sinopsis
Kufuatia kuuawa kwa waandishi sita wa habari huko Gaza, viongozi wa mashirika mbalimbali ya Umoja wa Mataifa wamekosoa vikali shambulio hilo lililotekelezwa na majeshi ya Israel usiku wa kuamkia leo. Sabrina Said na taarifa zaidi.