Habari Za Un
UNHCR Tanzania inaendesha zoezi la tathmini ya wakimbizi kutoka Burundi
- Autor: Vários
- Narrador: Vários
- Editor: Podcast
- Duración: 0:01:43
- Mas informaciones
Informações:
Sinopsis
Moja ya changamoto kubwa wanazokutana nazo wakimbizi pale wanapokaa nchi waliyopatiwa uhifadhi kwa muda mrefu ni kukosa nyaraka muhimu za utambulisho. Shirika la Umoja wa Mataifa linalohusika na masuala ya wakimbizi UNHCR limekuwa mstari wa mbele katika kuhakikisha wanapata suluhu ya changamoto hii.