Habari Za Un
Mgao wa mlo wavutia wanafunzi nchini Uganda kujifunza zaidi
- Autor: Vários
- Narrador: Vários
- Editor: Podcast
- Duración: 0:01:54
- Mas informaciones
Informações:
Sinopsis
Mradi wa mlo shuleni unaotekelezwa na shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa chakula(WFP) nchini Uganda kwa kushirikiana na serikali umesaiia zaidi ya watoto 255,000 kuendelea na masomo, kujifunza vizuri zaidi na kustawi. Sabrina Moshi na maelezo zaidi.