Habari Za Un
Umoja wa Falme za Kiarabu wafanikisha vifaa vya matibabu ikiwemo damu kuwasili Gaza
- Autor: Vários
- Narrador: Vários
- Editor: Podcast
- Duración: 0:02:11
- Mas informaciones
Informações:
Sinopsis
Leo tuna habari njema kutoka Gaza, eneo la palestina linalokaliwa kwa mabavu na Israel huko Mashariki ya Kati, Shirika la Umoja wa Mataifa la afya ulimwenguni WHO kwa kushirikiana na Umoja wa falme za Kiarabu UAE wamefanikiwa kuingiza dawa, vifaa tiba na damu salama kwa ajili ya matibabu ya wanagaza ambao wanaendelea kuteseka na madhila ya vita. Leah Mushi na taarifa zaidi.