Habari Za Un
Tanzania kuanza kutekeleza mpango wa WHO wa Beat the Heat
- Autor: Vários
- Narrador: Vários
- Editor: Podcast
- Duración: 0:01:49
- Mas informaciones
Informações:
Sinopsis
Tanzania, kwa kushirikiana na Shirika la Umoja wa Mataifa la Afya Duniani (WHO), iko mbioni kuzindua mpango wa “Beat the Heat” yaani “Lishinde Joto”, mpango wenye lengo la kukabiliana na joto kali na hatari za kimazingira katika sehemu za kazi na kwenye matukio makubwa ya kijamii. Anold Kayanda anafafanua zaidi taarifa iliyochapishwa leo na WHO jijini Dar es Salaam, Tanzania.