Habari Za Un
Hali ya Gaza ni janga la maadili linalotikisa dhamira ya ulimwengu - Guterres
- Autor: Vários
- Narrador: Vários
- Editor: Podcast
- Duración: 0:01:58
- Mas informaciones
Informações:
Sinopsis
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, António Guterres, ameonya kuwa mateso yanayoendelea katika Ukanda wa Gaza, eneo la Palestina linalokaliwa kimabavu na Israeli, ni zaidi ya janga la kibinadamu – ni janga la maadili linalopasua dhamira ya jumuiya ya kimataifa. Leah Mushi na maelezo zaidi.