Habari Za Un
Viongozi wa Afrika watambue wao ni watumishi wa wananchi - Kennedy Odede
- Autor: Vários
- Narrador: Vários
- Editor: Podcast
- Duración: 0:01:29
- Mas informaciones
Informações:
Sinopsis
Mapema kabla ya kushiriki hafla hii ya utoaji wa tuzo katika siku hii ya kimataifa ya Nelson Mandela hapa New York, Kennedy Odede alizungumza na Zipporah Musau wa Umoja wa Mataifa.