Habari Rfi-ki

CAF iliivua Senegal ubingwa na kuipa Morocco baada ya miezi miwili

Informações:

Sinopsis

Katika uamuzi wa kushangaza , Shirikisho la soka barani Afrika CAF, limefuta ushindi wa Senegal kama mabingwa wa taji la AFCON na kulipa taji hilo Morocco ambao walikuwa wenyeji wa michuano hiyo.