Habari Rfi-ki

Bobi Wine ameweka hadharani alikimbia nchi yake baada ya kuhangaishwa

Informações:

Sinopsis

Kiongozi wa chama kikuu cha upinzani nchini Uganda Bobi Wine baada ya kuwa mafichoni kwa miezi miwili alifunguka na kusema kafanikiwa kukimbia baada ya kuwindwa na vikosi vya usalama