Habari Rfi-ki
Bobi Wine ameweka hadharani alikimbia nchi yake baada ya kuhangaishwa
- Autor: Vários
- Narrador: Vários
- Editor: Podcast
- Duración: 0:10:12
- Mas informaciones
Informações:
Sinopsis
Kiongozi wa chama kikuu cha upinzani nchini Uganda Bobi Wine baada ya kuwa mafichoni kwa miezi miwili alifunguka na kusema kafanikiwa kukimbia baada ya kuwindwa na vikosi vya usalama