Sbs Swahili - Sbs Swahili

M23 na serikali ya DRC kufanya mazungumzo ya ana kwa ana

Informações:

Sinopsis

Duru za pande hasimu nchini Kongo, zimesema serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo na waasi wa M23 wanajiandaa kwa mazungumzo ya ana kwa ana 9 Aprili 2025.