Sbs Swahili - Sbs Swahili
M23 na serikali ya DRC kufanya mazungumzo ya ana kwa ana
- Autor: Vários
- Narrador: Vários
- Editor: Podcast
- Duración: 0:05:52
- Mas informaciones
Informações:
Sinopsis
Duru za pande hasimu nchini Kongo, zimesema serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo na waasi wa M23 wanajiandaa kwa mazungumzo ya ana kwa ana 9 Aprili 2025.