Sbs Swahili - Sbs Swahili

Nafasi za baraza la waziri za tangazwa: Nani yuko ndani, nani yuko nje?

Informações:

Sinopsis

Tanya Plibersek ame shushwa cheo nakupewa wizara ya Huduma za Jamii, wakati Anthony Albanese anatangaza baraza lake la mawaziri, atakao fanya kazi nao katika muhula wake wa pili serikalini.