Sbs Swahili - Sbs Swahili

Taarifa ya Habari 13 Juni 2025

Informações:

Sinopsis

Balozi wa zamani wa Australia nchini Marekani, Arthur Sinodinos, amesema mkataba wa AUKUS unastahili kuwa kipaumbele kikuu katika mkutano kati ya Waziri Mkuu Anthony Albanese na Rais wa Marekani Donald Trump.