Sbs Swahili - Sbs Swahili
Taarifa ya Habari 4 Agosti 2025
- Autor: Vários
- Narrador: Vários
- Editor: Podcast
- Duración: 0:05:06
- Mas informaciones
Informações:
Sinopsis
Serikali ya shirikisho imetangaza msaada kwa Gaza uta ongezwa kwa $20 milioni hii leo Jumatatu 4 Agosti, masaa machache baada yamakumi yama elfu kutembea katika Daraja maarufu la bandari ya Sydney, jana Agosti 3, katika maandamano dhidi ya vita vinavyo endelea Gaza.