Siha Njema

  • Autor: Vários
  • Narrador: Vários
  • Editor: Podcast
  • Duración: 4:01:11
  • Mas informaciones

Informações:

Sinopsis

Makala inayojadili kwa kina masuala ya afya, tiba na kutambua magonjwa mbalimbali bila ya kusahau namna ya kukabiliana nayo. Watalaam walibobea kwenye sekta ya afya watakujuvya na kukuelimisha juu ya umuhimu wa kuwa na afya bora na si bora afya. Pia utawasikiliza kwa maneno yao watu ambao wameathirika na magonjwa mbalimbali na walikumbwa na nini hadi kufika hapo walipo.

Episodios

  • Changamoto zinazowakumba watalaam wanaojikita kwenye tiba asilia nchini DRC

    08/04/2025 Duración: 10min

    Baadhi ya changamoto zinazokumba sekta ya tiba asilia ni mwitiko na  ukosefu wa sheria za kuisimamia katika  nchi mbali mbali

  • Ufanisi wa Tiba asili nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo

    07/04/2025 Duración: 10min

    Waganga wa tiba asilia wana mchango katika ulimwengu wa uzalishaji dawa 

  • Ukosefu wa maji salama unavyozidisha hali ya kibinadaam barani Afrika

    26/03/2025 Duración: 10min

    Kuna idadi kubwa ya watu wanaoshindwa kupata maji salama kwa matumizi ya nyumbani ,hospitali na hata mashamba Uhaba wa maji unaorodheshwa kuwa sababu kubwa ya watu kukosa chakula, kujikimu katika nchi zinazoshuhudia migogoro.Katika nchi kama Sudan na DRC kuna ripoti za hospitali ,kambi za wakimbizi kukosa moja hivyo mashirika ya kimsaada yanapata changamoto kuwahudumia wakimbizi

  • Mpango wa lishe katika shule za umma nchini Kenya kupambana na utapiamlo

    19/03/2025 Duración: 10min

    Ukosefu wa lishe bora huathiri afya na elimu nchini Kenya Ripoti ya Shirika la Umoja wa Mataifa la linalowahudumia Watoto (UNICEF) imeonesha  kuwa takriban watoto milioni mbili nchini Kenya wanakabiliwa na matatizo yanayotokana na utapiamlo. Mipango ya lishe  bora shuleni  eneo la Nyanza na maghari mwa Kenya umeonekana kuwa suluhu huku wanafunzi wakipata vyakula vilivyo na virutubishi bora vinavyosaidia kuboresha kinga ya mwili,hivyo kuimarisha afya .

página 2 de 2